Siku Maalum ya Maombi ya Kufunga
Location: Makanisa Yote
Itakuwa Sabato ambayo washiriki na waumini wote wa Kanisa la Waadventista wa Sabato duniani, wataungana katika maombi maalum ya mfungo. Utaratibu zaidi wa namna ya kuomba na mambo ya kuombea, utatumwa na mkurugenzi wa Idara ya Huduma za kichungaji.