News

News Entries

Back
  • "Tunamshukuru Mungu kwa fursa tuliyonayo ya kupeleka huduma hii mbele zaidi, kushiriki na watu wengi zaidi sio [tu] programu, lakini mtindo wa maisha ambao unabadilisha na kutayarisha siku zijazo,"...
  • Katika yaliyojiri NETC, tunaangazia Ujio wa wainjilisti 20 kutoka Marekani na Uingereza, Kupangwa kwa mtaa wa Panganani na matokeo ya kidato cha sita kwa shule za NETC, Tazama habari hii kujua zaid...
  • Viongozi NETC Waokoka na Ajali

    Posted on Apr 27 2019

    Mungu awakoa viongozi wa Konferensi kwa namna ya ajabu. Gari la ofisi lililogongana na gari kubwa la mizigo, limebaki limesismama na gari hilo kubwa limebinuliwa. Sikiliza kisa hiki cha kusisimua...
  • Na Almodad AmosHabari NETC | SameHatimaye Konferensi ya NETC imegawanywa hapo jana tarehe 03 Januari 2018 katika vikao vya Union vilivyofanya kazi ya kugawa na kuweka viongozi wa maeneo mapya ya ...
  • Kugawanya Konferensi Leo

    Posted on Jan 02 2019

    Konferensi ya NETC inakwenda kugawanywa muda si mrefu. Soma habari hii angalau kupata mwanga wa kile kinachoendelea.
  • Rai ya Ujenzi wa Makanisa Uchagani

    Posted on Oct 28 2018

    Hope Media | NETC imepata fursa ya kutembelea milima ya Uchagani mwezi Octoba 2018 na kushangazwa na hali ya maendeleo ya Injili katika Konferensi hii. Ni rahisi kudhani kuwa tayari injili imeshafi...
  • Wachungaji Wawekewa Mikono

    Posted on Oct 01 2018

    Sabato ya tarehe 29 Oktoba 2018 itakuwa sabato ya kukumbukwa sana katika historia ya Mch. Jackson Mding'i na Mch. Daniel Gitianga ambao wamewekewa mikono ya kutengwa kwa kazi maalum ya kichungaji...
  • Kwa sababu hiyo, Njozi imekuja ya kila mtaa kutakiwa kufanya kila wawezalo kupata angalau mtu mmoja (kanisani au nje ya kanisa) wa kujiunga na chuo hiki kwa mwaka wa masomo utakaoanza mwezi Octoba
  • Mabadiliko ya Uongozi NETC 2017

    Posted on Nov 10 2017

    Mabadiliko ya nafasi za Uongozi wa Wakurugenzi NETC Katika vikao vya mwisho wa mwaka 2017, vilivyokaa tarehe 9 & 10 Novemba 2017, kumekuwa na mabadiliko ya uongozi kwa ngazi ya Wakurugenzi wa Konfe...
  • Msimu wa makambi NETC umekwisha siku ya sabato ya tarehe 21 Okt 2017 na ratiba ya awali ya 2018 tayari imetoka. Zipo changa,oto kadhaa zilizojitokeza katika makambi ya 2017 ikiwemo suala la wahudumu.
  • TUCASA (ATC) Arusha na Uinjilisti

    Posted on Oct 22 2017

    Chama cha Wanafunzi waadventista Wa Sabato (TUCASA) kutoka Chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical college)Wamekusanya vyakula na bidhaa mbalimbali za maisha ya kila siku kwa lengo la kuipatia jam...
  • Ikitarajiwa kufunguliwa rasmi mwezi Agasti 2018, VividFaith itakuwa ni jamii ya muhimu sana; wale wanaotaka kutumika Kanisani wanaweza kupata mahali kadha wa kadha pa kutumika na pia kuona au kufahamu
  • Moja ya wabatizwa wa kwanza-kwanza katika eneo la Mbulu, na aliyekuwa mwanzilishi wa kazi katika maeneo mengi ya Mbulu na karatu, amelala mauti...
  • Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ahitimisha sherehe za kambi la Mtaa wa Majengo, katika Kanisa la Waadventista Wasabato - Majengo, Moshi; jana siku ya Sabato akiwa na Mch. Godwin Lekundayo ambaye ni Mwenye
  • Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Anna Mgwira ametembelea makao makuu ya Kanisa la Waadventista Wasabato katika Konferensi ya Kaskazini Mashariki mwa Tanzania.... (Soma ili kupata habari kamili)