Back to Document Groups

Imani za Msingi

Waadventista wasabato huipokea Biblia kama kanuni yao pekee. Masomo yaliyoko hapa ni Imani za Msingi kama Waadventista Wasabato wanavyoziona zikidhihirika katika Maandiko Matakatifu. Imani hizi, kama zilivyoorodheshwa hapa, hufanya uelekevu wa kanisa na udhihirisho wa mafundisho yaliyojengwa juu ya neno la Mungu kama lilivyo na sio nadharia au mawazo ya jinsi mwanadamu anavyofundisha. Karibu katika mfulizo wa masomo haya ya Biblia. Ni imani yetu kuwa yatakujenga kiroho na pia utawaalika watu wengine kutembelea tovuti hii ili nao pia waupate mbaraka huu ambao utawajenga na kutujenga sote. Ikumbukwe tu kwamba Biblia inafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili watu wote wampendao Mungu kwa nia ya dhati wawe kamili, naam wakamilishwe ili wapate kutenda kila jambo jema.
File Date Title/Download Link Description
09/30/2017 28. Dunia Mpya -