Huduma za Kichungaji - VUNTA
Location: Kirangare/Vunta
Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kichungaji NETC & NTUC watatembelea Kirangare & Vunta kwa ajili ya semina za Idara hiyo pamoja na Idara ya Uchapishaji. Wahusika ni Wazee wa Makanisa, Mashemasi pamoja na Viongozi wa Idara ya Uchapishaji. Maelekezo zaidi yatakuja wakati utakapowadia.